Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umekamilisha na kukabidhi Mradi wa ujenzi wa ofisi ya Wakala wa Misitu Tanzania (TFS) Wilayani Mkuranga mkoa wa Pwani.
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umeanza awamu ya pili ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa majengo katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mbeya. Awamu ya kwanza ilihusisha ujenzi wa msingi pamoja na kusimamisha nguzo wa majengo.
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) wapongezwa kwa kuendelea kutekeleza miradi ya maendeleo Mkoani Tabora. Uongozi wa Mkoa wa Tabora ulitoa jukumu kwa TBA kusimamia na kujenga miradi ya maendeleo kwa ubora na viwango vinavyohitajika katika majengo mbalimbali mkoani humo.
TBA itaendelea kuwa Taasisi imara kutekeleza Miradi kwa ubora
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana Dkt. Philis M. Nyimbi ameupongeza Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kwa kazi nzuri wanayoifanya ya kutekeleza miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Mwanza.