MHE. RAIS AIPONGEZA TBA KWA KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI WA OFISI KIGAMBONI
Wafanyakazi wa Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), wametakiwa kubuni Mikakati mipya yenye ubunifu (innovation) ambayo itawawezesha kutekeleza kwa ufanisi malengo yao.
KATIBU MKUU WIZARA YA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO (UJENZI), ARCH. ELIUS MWAKALINGA AZUNGUMZA NA MENEJIMENTI YA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
Mafanikio ya TBA katika uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano
Wakala wa Majengo Tanzania (TBA), umepata Mtendaji Mkuu mpya Arch. Daud W. Kondoro ambaye ameidhinishwa rasmi kuiongoza Taasisi hii akichukua nafasi ya aliyekuwa Mtendaji wake Mkuu, Arch. Elius A. Mwakalinga ambaye aliteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi).