• Maswali
  • Wasiliana Nasi
  • English

Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakala wa Majengo Tanzania

  • kuhusu Sisi
    • Ujumbe kutoka kwa Mtendaji Mkuu
    • Sisi ni Nani
    • Dira na Dhamira
    • Tunafanya Nini
    • Mikakati
    • Mkataba wa Huduma
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Bodi ya Ushauri
    • Muundo wa Taasisi
    • Senior Management
    • Kurugenzi wa Uwezeshaji wa Huduma
    • Kurugenzi ya Ushauri
    • Kurugenzi ya Ujenzi
    • Kurugenzi ya Miliki
    • Meneja wa Mikoa
  • Nyumba
    • Nyumba za Kuuza
    • Nyumba za Kupangisha
    • Fomu ya Ununuzi wa Nyumba
    • Fomu ya ununuzi wa Nyumba
  • Miradi
    • Miradi Tunayoishikilia
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Iliyo Katika usanifu
    • Miradi Tunayotegemea kufanya
  • Machapisho
    • Machapisho
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha
  • Ununuzi
    • Mpango wa Manunuzi wa Mwaka
    • Mialiko ya zabuni
    • Orodha ya Wazabuni Walioshinda

Habari Mpya

  • SERIKALI YAFUNGUA MILANGO YA UWEKEZAJI KWENYE UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI

    tokea mwezi 1
  • MENEJIMENTI YA TBA YAHIMIZWA KUKUTANA MARA KWA MARA.

    tokea mwezi 1
  • TBA YAKUTANA NA WAWEKEZAJI KUTOKA JAPAN.

    tokea mwezi 1
  • TBA NA ZBA KUENDELEZA MASHIRIKIANO

    tokea mwezi 1

Latest Press Release

Habari

  • ?WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NA MAWASILIANO ARIDHIKA NA KASI YA UJENZI KATIKA MRADI WA MAGOMENI KOTA

    Saturday 28, March 2020

    Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Mhandisi Isack Kamwelwe ametembelea mradi wa Makazi wa Magomeni Kota jijini Dar es Salaam na kuridhishwa na kasi ya Ujenzi wa mradi huo unaojengwa na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) ambao unatarajiwa kukamilika Juni 30, 2020.

  • TBA YATEKELEZA MIRADI MKOANI MBEYA

    Saturday 28, March 2020

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetekeleza miradi mbalimbali Mkoani Mbeya. Miradi iliyotekelezwa inajumuisha miradi ya Ujenzi, Ushauri na ukarabati.

  • TBA YASHIRIKI UJENZI WA KITUO CHA PAMOJA CHA FORODHA KASUMULU

    Wednesday 25, March 2020

    Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) unashiriki kama Mshauri Elekezi Msaidizi (Sub-Consultant) katika utekelezaji wa mradi wa Ujenzi wa Kituo cha Pamoja cha Forodha mpakani mwa Tanzania na Malawi unaoendelea katika eneo la Kasumulu, Mkoani Mbeya.

  • UONGOZI WA MKOA WA SONGWE WARIDHISHWA NA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI INAYOTEKELEZWA NA TBA

    Monday 23, March 2020

    Uongozi wa Mkoa wa Songwe umeridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi inayotekelezwa na TBA mkoani humo. Hayo yameelezwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Songwe Mhe. David Kafulila na Bi. Regina Bieda Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji wa Tunduma.

  • KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA NYUMBA ZA MAKAZI MAGOMENI KOTA

    Monday 23, March 2020

    Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imefanya ziara kukagua mradi wa ujenzi wa nyumba za Makazi Magomeni Kota Machi 16, 2020 unaotekelezwa na Wakala wa MajengoTanzania (TBA).

    • ‹
    • 1
    • 2
    • ...
    • 21
    • 22
    • 23
    • 24
    • 25
    • 26
    • 27
    • 28
    • 29
    • 30
    • ›
Tanzania Census 2022

Mawasiliano yetu

TBA
THE CHIEF EXECUTIVE, TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA), 13 MOROGORO ROAD, P.O BOX 94, 41102 VIWANDANI, DODOMA TANZANIA, EMAIL: ce@tba.go.tz Website: www.tba.go.tz
Nukushi :
Namba ya Simu : +255 733 483 437, +255 677 108 010
Barua Pepe : barua@tba.go.tz

Linki za Haraka

Linki Linganifu

  • WIZARA YA UJENZI NA UCHUKUZI
  • Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo
  • Utumishi
  • Tume ya Takwimu ya Taifa
  • Tume ya Ajira

©2025 wakala wa majengo tanzania . Haki zote zimehifadhiwa..

Imesanifiwa, Imetengenezwa na Mamlaka ya Serikali Mtandao.Inaendeshwa na Wakala ya Majengo Tanzania